We learn and Gain more knowledge on academic staffs

Friday, August 30, 2024

Kinda na kiungo mshambuliaji wa Simba Joshua Mutale amepona

Kinda na kiungo mshambuliaji wa Simba Joshua Mutale amepona na kuanza mazoezi rasmi ya timu baada ya kuwa nje ya uwanja akiuguza majeraha kwa masiku kadhaa! Kukosekana kwa kinda huyo hatari kulifanya mwalimu amtumie Kibu Denis, Edwin Balua ama Saleh Karabaka kwenye upande wa wingi! Matarajio yenu!?

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages

SoraTemplates

Best Free and Premium Blogger Templates Provider.

Buy This Template